Friday, September 1, 2017

Wanahabari wapigwa msasa maandalizi ya msimu wa vuli, 2017

ad300
Advertisement


Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt Agnes Kijazi na wakurugenzi wa divisheni mbalimbali katika picha ya pamoja na wanahabari waliohudhuria mafunzo ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza
Baadhi ya wanahabari waliohudhuria mafunzo ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza wakijadili mada katika makundi
Bw. William Shechambo wa gazeti la Uhuru akichangia jambo kwenye  mafunzo ya wanahabari ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza
Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt Agnes Kijazi akizungumza na wanahabari waliohudhuria mafunzo ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza


Baadhi ya wanahabari waliohudhuria mafunzo ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza

Bw. Costantino Pius kutoka redio Wapo akichangia jambo kwenye  mafunzo ya wanahabari ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza

Bw. Henry Mabumo kutoka ITV akichangia jambo kwenye  mafunzo ya wanahabari ya maandalizi ya mwelekeo wa msimu wa mvua za Vuli 2017, TMA-Ubungo Plaza

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 comments: