Wednesday, November 20, 2013

Wametutoa mbali sana kwenye hii Tasnia... Ahsanteni

ad300
Advertisement
Watangazaji wa Zamani wa Radio Tanzania-RTD kati ya miaka ya 70s, 80s na 90s waliovuma katika Idhaa zetu za Kiswahili na Kiingereza kupitia Radio Tanzania Dar es salaam (RTD). Wakati huo radio zilizotumika alimaarufu kamaredio za phillps,national,panasonicnaNationalpanasonicau maarufu kwa jina la dudu proof Orodha ya Majina haya hapa: 1.Abdallah Iddrissa Majura–Michezo 2.Abdallah Mlawa—Kijaruba, Ombi lako 3.Abdul Ngarawa -Taarifa ya Habari & Mazungumzo baada ya habari 4.Abisai Steven 5.Abou Liongo–Michezo 6.Ahmed Jongo–(Mpira, na mnazi wa kutupwa wa yeboyebo) 7.Ahmed Kipozi–Mpira 8.Alex Malumwene 9.Aloycea Maneno- Ombi lako, cheichei Shangazi, mama na mwana 10.Ananilea Nkya Twende na Wakati, Jinsia, Utawala Bora, Harakati 11.Bakari Msulwa- Salam 12.Barbabas Mluge 13.Bathoromeo Kombwa (bati Kombwa) – WAkati wa Kazi 14.Bazir Mbakile 15.Beni Kiko (“Benjamin Kikomongo”) jina lake halisi ni Bakari Kikoloma. –Enzi za vita ya Nduli 16.Benjamin Rwegasila 17.Bety Mkwassa – Kabla hajahamia ITV 18.Bhaat Kombwa–Wagonjwa mahospitalini, Wakati wa Kazi 19.Bujago Izengo wa Kadago 20.Charles Hillary–Mpira 21.Chillambo Dominic—Mpira..”…Fuuumo Felician…Nafasi kama ile….” 22.Chisunga Steven- kipindi cha ugua pole 23.Chriss Katembo 24.Christina Chokunogela 25.David Wakati–Duniani Wiki Hii 26.Deborah Mwenda–Mama na mwana–wanawake na maendeleo 27.Dominic Chilambo- Mpira 28.Edda Sanga 29.Fauziah Ismal-Habari 30.Hannah Gogo Mayige-Habari 31.Harid Ponela – club raha leo show 32.Hassan Mkumba- matangazo ya vifo 33.Hendri Michael Libuda- Misakato 34.Iddi Rashid Mchata 35.Idrisa Sadala 36.Jacob Tesha–Habari 37.Japhet Muura. 38.Julius Nyaissanga–Club Raha Leo Show 39.Juma Ngondai 40.Khalid Ponera- Zilipendwa 41.Kissunga Steven–Kwetu Kigoma 42.Leonald Mambo Mbotela 43.Malima Nderema 44.Mariam Shabba–Mambo ya jamii 45.Martha Ngwira 46.Michael Katembo na vipindi vyake vya Mkoa kwa mkoa, Tumbuizo asilia, Ngoma, Asilia Salam 47.Mohamed Abdullhamaan–Michezo 48.Mohamed Amani (Mohamed Dahman) 49.Mohamed Ngayonga–Mchana Mwema 50.Mshindo Mkeyenge–MichezoMpira 51.Nassoro Nsekeli 52.Nassoro Nsekeli- alikuwa na sauti kama ya mafua hivi alikuwa mtaalamu wa kipindi cha Majira- ndiye aliyetangaza kifo cha Nico Zengekala 53.Nazir Mayoka–Mpira 54.Nswima Ernest – Nyanda za Juu Kusini 55.Paschal Mayalla–Habari(anikumbushe mwenyewe ni mwana jukwaa) 56.Penzi Nyamungumi = Fundi mitambo – Mtangazaji 57.Peter Msungu–Mbili Kasoro 58.Rashid Mchata 59.Restuta Bukoli 60.Richard Leo 61.Rochus Matipa – External Service RTD 62.Rose Haji 63.Salama Mfamao 64.Salim Mbonde–Mpira 65.Salim Seif Nkamba –Mikingamo–twambie nani yuko wapi anafanya nini katika kuhujumu uchumi 66.Sango Kipozi–Habari 67.Sara Dumba–Mama na Mwana 68.Sauda Simba maarufu kwa kutangaza taarifa ya habari ya lugha ya kiingereza. 69.Sekioni Kitojo–Michezo 70.Seleman Kumchaya–Mchana Mwema 71.Selemani Mkufya 72.Simba Nyamaume–Majira 73.Siwatu Luwanda–Habari 74.Stan (Stanslaus) Katabalo – cha Majira 75.Suedi Mwinyi 76.Suleiman Hega 77.Suleiman Kumchaya 78.Suleiman Muhogora 79.Titus Philipo 80.Titus Stephen 81.Tumbo Risasi – Kigoma 82.Zainab Bakilana
Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 comments: