Kitendo cha elimu kuonekana kuwa changamoto mkoani Lindi, serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa jumla ya Sh. Bilioni 2.8 kuhakikisha mkoa huo unashika nafasi za juu kitaifa kwenye ngazi zote.
Mbali na fedha hizo ambazo kimsingi ni za programu ya Lipa Kulingana...
Bil 2.8/- zawa chachu ya kuboresha elimu Lindi
