Wednesday, May 16, 2018

Bil 2.8/- zawa chachu ya kuboresha elimu Lindi

Bil 2.8/- zawa chachu ya kuboresha elimu Lindi
Kitendo cha elimu kuonekana kuwa changamoto mkoani Lindi, serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa jumla ya Sh. Bilioni 2.8 kuhakikisha mkoa huo unashika nafasi za juu kitaifa kwenye ngazi zote. Mbali na fedha hizo ambazo kimsingi ni za programu ya Lipa Kulingana...

Tuesday, May 15, 2018

NIC watoa 'Support' jimboni kwa Naibu Waziri Ulega

 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Mkuranga,Abdallah Ulega akipokea mifuko 200  saruji kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko wa Shirika la bima la Taifa,Elisante Maleko yenye thamani ya shilingi milioni tatu kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya zahanati na madarasa.  Naibu...

Saturday, April 21, 2018

Sunday, April 15, 2018

Kodi kutozwa kwa watumia mitandao ya kijamii

Kodi kutozwa kwa watumia mitandao ya kijamii
WAZIRI wa Fedha wa Uganda Matia Kasaija ameliambia Shirika la Habari la Uingereza Reuters kuwa serikali yake inapanga kuwatoza kodi watumiaji wa mitandao ya kijamii kila siku, kuanzia Julai mwaka huu, hatua inayolenga kuisadia serikali kukusanya mapato. “Tunahitaji fedha za...

Saturday, April 14, 2018

FCC yawanoa wadau wa biashara, viwanda

FCC yawanoa wadau wa biashara, viwanda
WIZARA ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji imesema wafanyabiashara na wenye viwanda nchini, wanapaswa kufuata utaratibu katika uwasilishaji malalamiko, mapendekezo kuhusu usimamizi wa sheria za biashara badala ya kulalamikia pembeni. Imesema usimamizi wa sheria zikiwemo zinazohusu...

Friday, April 13, 2018

Simu inasababisha saratani?

Simu inasababisha saratani?
"Usiweke simu karibu na unapolaza kichwa chako usiku, ni hatari kuna mionzi itazuru ubongo wako na utapata saratani ya ubongo, ukipata meseji hii mtaarifa na umpendaye... Mimi nimeanza na wewe! Niambie, umewahi kupata ujumbe wa namna hii kwenye simu yako ya mkononi tena kwa mtu unayemjua...

Utaratibu mzuri wa kuendesha gari ya 'Automatic gear'

KWA dereva yeyote, ni wazi hawezi kupingana na mimi kwamba gia ni eneo muhimu sana kwenye gari ambalo limeundwa kwa makusudi ya kutoka sehemu moja kwenda nyingine yaani kuwa na mwendo. Gia ndio inayofanya gari itembee kwa mwendokasi mkali au mdogo kadri dereva atakavyoamua kufuatia ubadilishaji...
Page 1 of 6212362Next »