Wednesday, July 26, 2017

Spika atangaza viti nane bungeni kuwa wazi

ad300
Advertisement
Siku moja baada ya Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na Kaimu Katibu Mkuu wake Magdalene Sakaya kumwandikia Spika Job Ndugai barua ya kuwasimamisha uanachama wabunge wake nane, Spika ametangaza kutokuwatambua wabunge hao kwa mujibu wa sheria na kuikaribisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kupanga taratibu za kuziba nafasi kwa mujibu wa sheria kutokana na uamuzi huo.


Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 comments: