![]() |
Advertisement |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjo1JFRRU1ornCWs15YmxDqRMC7-v_T463yFy5q-lMe56oi-jW3RKYhyEs8-c7WG9M_0sgK05mRUF_p-QMY4ZmQxDSm46J2KdcqHEGI2FqyFmCCDXyqoY1IxF-UHkTEJdu99wKMRfSMh24/s320/akwilapo.jpg)
Akizungumza na wanafunzi wanaotarajiwa kuhudhuria mafunzo hayo mjini Dodoma, Dk. Akwilapo amewataka kuhakikisha wanakwenda kujifunza na kuangalia Maendeleo ya kompyuta ili waje kuendeleza ufundi na ujuzi wa Teknolojia watakayokuwa wameipata nchini China.
Hii ni mara ya Pili kwa Makao Makuu ya Huawei ya nchini China kusafirisha wanafunzi kwenda nchini humo kwa ajili ya mafunzo hayo ya kompyuta lengo likiwa ni kuwajengea vijana uwezo katika sekta ya mawasiliano.
0 comments: