Saturday, July 29, 2017

Skauti waadhimisha miaka 100

ad300
Advertisement
Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ally Idd, amewataka vijana wa skauti kuwa mstari wa mbele katika kudumisha na kuendeleza amani iliyopo hapa nchini.

Balozi Idd ameyasema hayo mkoani Dodoma, wakati akifunga sherehe za maadhimisho ya miaka 100 ya skauti.

Katika hotuba yake, aliwasihi vijana kuzingatia mafunzo waliyopewa ikiwemo ujasiri, mshikamano, uzalendo na upendo miongoni mwao.   

Sherehe hizo viongozi wa Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi akiwemo Waziri Profesa Joyce Ndalichako, Naibu waziri Injinia Stella Manyanya na Katibu Mkuu Dk. Leonard Akwilapo walikabidhiwa Tuzo na vyeti kutoka chama cha skauti kwa mchango wao katika maadhimisho hayo.
Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 comments: